Sunday 10 January 2016

4Corners Alliance Group Tanzania

4Corners Alliance Group ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni mfanya biashara ya aina ya mtandao (network marketing) katika kampuni ya Herbal Life.
4Corners Alliance Group ni kampuni ambayo imejikita katika kutoa elimu ya ujasiriamali, uchumi, fedha, uwekezaji na biashara kwa kutumia bidhaa mbili kuu:
1. Vitabu vya  mtandaoni (e-books)
2. Jarida la kila mwezi la mtandaoni (e-newsletter)
Level 2 inakuwa na watu 16 tu.
Level 3 inakuwa na watu 64 tu.
Level 4 inakuwa na watu 256 tu.
Level 5 inakuwa na watu 1,024 tu.
Level 6 inakuwa na watu 4,096 tu.
Level 2 ni $10
Level 3 ni $25
Level 4 ni $60
Level 5 ni $150
Level 6 ni $300
$5 x 64 = $320 inabakia kwa kampuni.
Hii hutolewa kwa kila kila mtu uliyemuingiza chini yako moja kwa moja.
Unapokuwa na watu wengi zaidi chini yako utafaidi zaidi ile bonus ya 100%. Bonus hii utolewa pindi pale mtu uliyemwingiza moja kwa moja anapoliwa. Chochote atakacholipwa unalipwa kwa 100% wewe ukiwa ndo mdhamini wake.
2. Hakuna kukimbizana na deadlines. Kila mtu anafanya kwa starehe zake. Spidi yako mafanikio yako.
3. Bidhaa inajiuza yenyewe.
4. Hakuna kutoa hela nyingine mfukoni mwako baada ya $18.
2. Hautalipwa kamisheni zake kama hulichukui.
3. Inashauriwa kulichukua pindi unapokea malipo ya level 4.
4. $29.95 inakatwa kwenye kamisheni zako.
Level 2: $1 x 16 = $16
Level 3: $1 x 64 = $64
Level 4: $1 x 256 = $256
Level 5: $2 x 1,024 = $2,048
Level 6: $2 x 4,096 = $8,192
Level 7: $4 x 16,384 = $65,536
1. $18
2. Email (isiwe Yahoo au AOL)
3. Link/jina la mdhamini wako

Bidhaa ya vitabu imegawanyika katika madaraja sita, ambavyo ununuliwa kadiri biashara inavyosonga.
Kwakuwa 4Corners ni biashara ya mtandao, unaweza kujenga timu ya watu watakaoangukia kwenye vizazi (levels) vyako tofauti tofauti.

Level 1 inakuwa na watu 4 tu.
Kila ngazi ina seti yake ya vitabu vikiwa na dhima tofauti na kwa bei tofauti.
Level 1 ni $10
Unaweza kuvinunua vitabu vyoote hivi kwa hela yako mwenyewe ukajisomea mwenyewe.
Lakini pia unaweza kuvinunua kwa malipo unayoweza kuyapata kwa kujenga timu ya watu chini yako.
Hapa ndo unakuja mpango wa kuunda timu ili kujenga kipato cha kukuwezesha kununua vitabu zaidi na kujipatia ziada kubwa kabisa.

Inafanyaje kazi?
Unapojiunga tu kwa $18, $8 ni ya usajili na $10 inanunulia vitabu vya level 1.
Unapoanza kujenga timu hiki ndicho kinatokea kati yako na kampuni:
Watu walioko level 1 wakinunua level 1 (wakati wa kujiunga) kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 4 = $16, na mdhamini wako atalipwa $16 bonus ya 100%. $2 x 4 = $8 inabakia kwa kampuni kama faida yake.
Watu walioko level 2 wakinunua level 2 kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 16 = $64, na mdhamini wako atalipwa $64 bonus ya 100%. $2 x 16 = $32 inabakia kwa kampuni.
Watu walioko level 3 wakinunua level 3 kwa $25, utalipwa jumla ya $10 x 64 = $640, na mdhamini wako atalipwa $640 bonus ya 100%.
Watu walioko level 4 wakinunua level 4 kwa $60, utalipwa jumla ya $24 x 256= $6,144 na mdhamini wako atalipwa $6,144 bonus ya 100%. $12 x 256 = $3,072 inabakia kwa kampuni.
Watu walioko level 5 wakinunua level 5 kwa $150, utalipwa jumla ya $60 x 1,024= $61,440, na mdhamini wako atalipwa $61,440 bonus ya 100%. $30 x 1,024 = $30,720 inabakia kwa kampuni.
Watu walioko level 6 wakinunua level 6 kwa $300, utalipwa jumla ya $120 x 4,096 = $491,520, na mdhamini wako atalipwa $491,520 bonus ya 100%. $60 x 4,096 = $245,760 inabakia kwa kampuni.
Nadhani hadi hapo umeelewa kampuni inanufaikaje.
UKUMBUKE KUWA HELA YOTE HIYO ITATOKANA NA MALIPO UNAYOPATA KWA KUJENGA TIMU YAKO NA SIO MFUKONI MWAKO.
KIKUBWA ZAIDI ni 100% bonus.
Baada ya wale wanne tulioona pale mwanzo kila utakayemwingiza atakupatia $4 lakini hatakaa kwenye level 1 yako. System itatafuta pengo itamuweka huko.
Nini faida ya kuingiza watu zaidi?
Mfano: Ukiwa na watu 20 na kila mmoja akawa amelipwa $50, ina maana utalipwa $50 x 20 = $1,000 papo hapo.
💰💰..sio utani..ni kweli...
Vitu muhimu:
1. Hakuna kikomo cha uanachama.
JARIDA LA KILA MWEZI (e newsletter):
Hili jarida utoka kila mwezi mara moja na gharama yake ni $29.95. Ya kuzingatia ni haya:
1. Sio la lazima.
Kwa kila anayelichukua jarida hili unalipwa ifuatavyo:
Level 1: $1 x 4 = $4
👆Hiki ni kipato cha kila mwezi..ndioo...kila mwezi!
NINALIPWAJE?
Uapojiunga unapewa ofisi yako ya mtandaoni (backoffice), ambayo utatumia kuangalia maendeleo yako, ya timu yako, mapato yako na kutoa pesa. Pia, vitabu ulivyokwisha kuvilipia unaweza kuvichukia (download) na kuvisoma ukipenda.
Maombi ya kutoa hela yanafanyika siku ya J2, J3 na J4, na malipo yatafanyika J4 itakayofuata kupitia Visa/Mastercard ya benki yako, na utaweza kutoa kupitia ATM za hapa hapa kwetu au akaunti yako ya benki.
Naanzaje kufanya kazi?
Kinachohitajika ni:

1. $18
2. Email (isiwe Yahoo au AOL)
3. Link/jina la mdhamini wako........ https://www.fourcornersalliancegroup.com/?a=mifreddy

Hakikisha fursa hii haikupiti! Ni ya kipekee sana katika ulimwengu wa biashara za mtandao.
Hakikisha fursa hii haikupiti! Ni ya kipekee sana katika ulimwengu wa biashara za mtandao.

No comments:

Post a Comment