Friday 14 February 2014

SIO KILA KING`AACHO NI DHAHABU, USIOMBE YAKUKUTE........ WADADA WATCH OUT !!!!!!!!

 Sasa yule mzungu alinipenda na akaniambia akirudi atafanya arrangement nami nitembelee Germany na kweli baada ya mwezi mmoja alinipigia simu na kunielekeza niende kuchuku tiketi amesha kata kndege ya Emirate pale Nairobi nae atanisubiri Amsetadam.

Niliona ndo nimetoka kwani niliofika Nairobi nikakuta tiketi nisafiri wiki moja mbele.

Nilipanda ndege tulipitia Ethiopia alafu baadae tukaendelea na safari hadi amsetadam ambapo nilimkuta akinisubiri.kumbe alikuwa mwenye hela sasa tukatoka tukapanda ndege nyingine hadi ufaransa ambapo tukafikia hoteli moja.

Sikujua kama anatabia ile lakini nilikua ugenn na sina mwenyeji ilinibidi nikubali kwani night tulipoaanza kudu tu nikaona anataka tigo sasa na mimi ningekataaje ugennn ningetorokea wapi nilijaribu kumwambia sijawai lakini alinilazimisha na kuniingilia.
Baada ya tendo nilimwomba anirudishe nyumbani ingawa alinioma tuende Germany nilikataa na nashukuru nimerudi salama ila ndo nimeshafanyiwa mchezo mchafu.

Nawashauri wadada hawa wazungu sio labda kama unajua ila tabia zao mbaya sana

No comments:

Post a Comment