Monday 18 August 2014

FIESTA KAHAMA USIKU WA JANA KUAMKIA LEO ILIKUWA HIVI LINAH MBELE



Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama.
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo Kahama.…
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama.
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo Kahama.
Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.
BK Sande akishambulia jukwaa.
Watangazaji wa Clouds FM, DJ Fetty akiwa na DJ Muli B.
(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL, KAHAMA)

No comments:

Post a Comment