Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira
katika Utumishi wa Umma Bi. Riziki Abraham akieleza kwa waandishi wa
habari (hawapo pichani) kuhusu mambo ya kuzingatia kabla ya kuomba kazi
nchini kwa waombaji waliopotelea na vyeti, kuibiwa vyeti au kubadilisha
majina,wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kulia ni
Naibu Katibu Kitengo cha Udhibiti na Ubora toka Ofisi hiyo Bw.Humphrey Mniachi.
|
No comments:
Post a Comment