Friday 5 September 2014

DIAMOND PLATNUMZ PLATNUMZ ATAJWA TENA KUWANIA TUZO ZINGINE KUBWA AFRIKA



Channel O wametangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za CHOAMVA mwaka huu. Msanii anaekuja vizuri sana hapa Tanzania, East Africa na AFrika kwa ujumla aliye imba vibao vikali si mwingine ni  Diamond Platinum ametajwa kuwania vipengele vinne ambavyo ni pamoja na




MOST GIFTED VIDEO OF THE YEAR,

MOST GIFTED NEW COMER,

MOST GIFTED AFRO POP

na MOST GIFTED EAST AFRICA

No comments:

Post a Comment