Diamond Platinumz amepost kwenye Instagram kipande cha wimbo wa Taarab
kinachowakejeli wote wanaotaka yeye na mpenzi wake Wema Sepetu
watengane.
Siku
chache zilizopita Diamond na Wema Sepetu walikuwa mada kubwa baada ya
mashabiki wa Wema kuanzisha kampeni yenye hashtag #BringbackOurWema,
wakimtaka Diamond amrudishe kwenye chart yake Wema ambaye walidai
amejikita kwenye mapenzi zaidi hivi sasa.
No comments:
Post a Comment