Monday 25 August 2014

Umeipata hii ya huyu kijana kuwataka kimapenzi Ma-Mc wa Dar?


hekaaug25Idara ya Hekaheka ambayo ipo ndani ya kipindi cha Leo Tena ina stori kuhusu kijana ambaye kwa umri anaonekana bado mdogo kuwataka kimapenzi Ma Mc wa shughuli mbalimbali.



Ukitoa tu kuwataka kimapenzi kitu ambacho kimewashangaza hata hao Ma-Mc ni namna alivyo na ujasiri ukilinganisha na umri wake kwani Ma Mc hao ni wakubwa kwake na ni kama mtoto wao.
Gea Habib kapiga stori na Ma-Mc hao ambao walimtengenezea mtego wa kumkamata kijana huyo ambapo nae kazungumza kwenye hii Hekaheka na kutoa sababu za kuamua kufanya hivyo.
87.9 Clouds Fm inasikika ukiwa Moshi.
Bonyeza play kusikiliza.
http://millardayo.com/hekaaug25/

No comments:

Post a Comment