Friday 5 September 2014

MAKALIO YA MAIMARTHA JESSE YAWA GUMZO, YASEMEKANA NI MCHINA


maiKUTOKANA na kubadilika kimuonekano na kila kukicha makalio kuzidi kuwa makubwa, mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse amenangwa kwamba anatumia dawa za Kichina kuyaongeza ukubwa.
Tofauti na alivyokuwa zamani, Maimartha kwa sasa anaonekana kuwa na makalio makubwa hali ambayo imewashtua baadhi ya wadau wake wa karibu na kusema kwamba mwanadada huyo anatumia dawa za kuongeza makalio kwani yeye mwenyewe anaziuza dukani kwake. “Yaani Maimartha anashangaza kweli kwani kila kukicha makalio yanaongezeka wakati zamani alikuwa mwembamba pia hivi sasa anaonekana kuwa ana shepu, kwanza kuna wakati hayampendezi,” alisema mdau mmoja pasipo kutaja jina.  Maimartha alipoulizwa kuhusu ishu hiyo alisema: “Jamani nimeridhika tu na maisha yangu situmii dawa za kuongeza makalio

No comments:

Post a Comment