Friday 8 August 2014

BODABODA ZAPIGWA MARUFUKU DAR


OPERESHENI ya kukamata pikipiki maarufu kama bodaboda zinazoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, imedaiwa kuhatarisha maisha ya watu kutokana na polisi kutozingatia usalama wa wapanda pikipiki hao wanapowakamata na kuwasababishia ajali.

No comments:

Post a Comment