Stori: Gladness Mallya
Acha kabisa! Habari ya
mjini katika ulimwengu wa mastaa wa Kibongo ni madai ya Mbongo-Fleva,
Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuwachanganya kimalovee, mastaa
wenzake, Jokate Mwengelo ‘Kidoti’ na Vanessa Mdee ‘Van V’ au V-Money,
Ijumaa Wikienda limeinyaka.
Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ akipozi kimahaba na Vanessa Mdee, 'V-Money'.
No comments:
Post a Comment