Monday 25 August 2014

KESI KIFO CHA KANUMBA, SURA MPYA!


Stori: Shakoor Jongo
Jipya! Baada ya kimya cha muda mrefu, imefichuka kwamba kesi ya kuuawa kwa aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’ imechukua sura mpya baada ya kuanza kusikilizwa kimyakimya, Ijumaa Wikienda limenasa kinachoendelea.
Staa wa sinema za Kibongo, Lulu Elizabeth Michael, 'Lulu".

No comments:

Post a Comment